Kwa hakika CCM naichukia hata haya yangetokea kwa upande wangu

Naichukia kama navyowachukia kinana,nape na muuaji mwigulu
 
Uwe na hekima na busara kijana. Hata kama unataka kuwasilisha mawazo yako, kwanini usiweke kistaarabu tu? heading yako haina heshima. Jifunzeni ku-cope na JF na jitahidi kuitofautisha na FB.
 
Uwe na hekima na busara kijana. Hata kama unataka kuwasilisha mawazo yako, kwanini usiweke kistaarabu tu? heading yako haina heshima. Jifunzeni ku-cope na JF na jitahidi kuitofautisha na FB.

ujumbe umefika mkuu watu hawaipendi ccm tena
 

Hunizi mimi! Nailaani kila siku!
 
Siyo wewe tu bali vijana wote wenye mapenzi mema na taifa letu wanaichukia ccm
 
CCM ni ya kupigwa vita....... Ikiwezekana duniani na hata mbinguni
 
Uwe na hekima na busara kijana. Hata kama unataka kuwasilisha mawazo yako, kwanini usiweke kistaarabu tu? heading yako haina heshima. Jifunzeni ku-cope na JF na jitahidi kuitofautisha na FB.

Mambo vipi msemaji wa CDM na mteteaji wa CCM
 
Angalia wabunge wa CCM walivyopitisha kodi ya line ya simu ya sh:1000/= inayowaumiza wananchi kama mazuzu.
 
Mie kwa kunichakaza kiuchumi..yanimipango yangu ya muda mfupi na mrefu naona wazi haitatimia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…