CCM hakika sikipendi kutokana na
1. Kuweka mbele maslahi ya chama kuliko UTAIFA Angalia wanavyopitisha budget kwa wingi wao
2. Kupinga vyama vingine kufanya mikutanorefer bomu la ARUSHA kwenye mkutano wa CDM
3. Wabunge wake kutowawakilisha wananchi ipasavyo wawapo bungeni,zaidi huongelea na kukitetea chama chao,serukambo,mkamia etc
4. kutohamasisha wananchi kufanya shughuli za maendeleo,zaidi ya kuwapigia nyimba za komba na kucheza miduara
5. Kupiga mabomu na kuzuia maandamano yaliyopewa vibali na kuruhusiwa,na kutumia vitu vyenye ncha kali kuumiza na kuuwa raia wake refer Mwangosi
Tafadhalini wazalendo wa Tanzania wekeni sababu zingine za kuichukia CCM_____________