inawezekana kabisa kufanya biashara kwa mtaji wa sh. 5000, lakini hiyo biashara si kubwa ki hivyo ie. biashara pipi, biscuit, karanga n.k tatizo watu wenye degrii wanajidai hawezi :juggle: kufanya biashara ndogondogo kama hizo, lakini ikumbukwe kuwa hata hao mamilionea walianzia chini, swala ni kufanya kazi kwa bidii na kuwa na malengo..... cha ajabu mtu mwenye digriiii unamkuta anamuomba pesa za matumizi mzazi wake ambaye anafanya biashara ya mtaji mdogo kama huo, ila akiambiwa akae kijiweni azungushe hiyo biashara hakubali hataa, eti aibu