SHIEKA JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 8,240 Reaction score 4,270 Mar 20, 2015 #21 Gwangambo said: Ananafaa sana tu. bora huyu ana maamuzi magumu kuliko Prof. fake TEZI. Click to expand... Ni kweli ana maamuzi magumu. Kama ni kuhonga ili apate sapoti ya urais hasiti kufanya hivyo! Kufanya biashara zake ikulu kwake ni kitu rahisi sana! Huyu mheshimiwa ni kweli ana maamuzi magumu.
Gwangambo said: Ananafaa sana tu. bora huyu ana maamuzi magumu kuliko Prof. fake TEZI. Click to expand... Ni kweli ana maamuzi magumu. Kama ni kuhonga ili apate sapoti ya urais hasiti kufanya hivyo! Kufanya biashara zake ikulu kwake ni kitu rahisi sana! Huyu mheshimiwa ni kweli ana maamuzi magumu.
B babacollins JF-Expert Member Joined Dec 23, 2010 Posts 901 Reaction score 212 Mar 20, 2015 #23 Ilivyo sasa kila anaeonyesha nia anafaa. Rahisi tu kama majina kwenye coca, unaangalia eliyepo anauwezo gani.
Ilivyo sasa kila anaeonyesha nia anafaa. Rahisi tu kama majina kwenye coca, unaangalia eliyepo anauwezo gani.