Msaada wadau, Kiswahili kinanichanganya kidogo, Ipi ni sahihi kati ya hizi sentensi.....KUWA RAIS ANAFAA? au ANAFAA KUWA RAIS? au JE, ANAFAA KUWA RAIS? hii lugha inachanganya sana...ndrukiiiiiiiii
Anafaa sana tupo nyuma yake sisi vijana wa wilaya zote za Tanzania, natamka kama Makonda maana nae alisema alivokuwa kwenye bunge la katiba kuwa anawakilisha vijana wa Tz na mimi niwe nimetumwa sijatumwa nawakilisha vijana wa wilaya zote za Tanzania
Hafai jamani ila kama tukikosa mwenye sifa za kutuongoza basi hatuna jinsi, mungu atuongoze atuvushe katika kipindi hiki kigumu na cha mpito tusije fanya kosa tukachagua mtu asiye sahihi. ni hayo
:frown::frown::frown::frown::frown::frown::frown::frown::frown:
Msaada wadau, Kiswahili kinanichanganya kidogo, Ipi ni sahihi kati ya hizi sentensi.....KUWA RAIS ANAFAA? au ANAFAA KUWA RAIS? au JE, ANAFAA KUWA RAIS? hii lugha inachanganya sana...ndrukiiiiiiiii
Anafaa sana tupo nyuma yake sisi vijana wa wilaya zote za Tanzania, natamka kama Makonda maana nae alisema alivokuwa kwenye bunge la katiba kuwa anawakilisha vijana wa Tz na mimi niwe nimetumwa sijatumwa nawakilisha vijana wa wilaya zote za Tanzania
Mbona Paul Makonda kwenye bunge la katiba alisema kuwa anawakilisha vijana wote wa Tanzania wawe CHADEMA, CUF,CCM,TADEA,NCCR MAGEUZI wote kwa ujumla wao alisema anawawakilisha kwa hiyo hata akiongea pumba jua pale wameongea vijana wa Tanzania nzima maana alisema kuwa wamemtuma kwenye bunge la katiba.Sasa alikuwa amechaguliwa na nani huyo Makonda?