Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,306
- 3,228
Ila wewe una vurugu Sana๐๐Eeh wanaume wa humu wanaonea wivu hadi makalio ya wanawake nilishangaa sana mim๐
Atajisajili kwa id nyingineNasikia mpwayungu bye bye hawez rudishw tena Kala life ban
Mpwayungu village yupo na id nyingine Riyan sema Haina mzuka sanaAtajisajili kwa id nyingine
๐๐๐ Bado sijakabidhi simu mkuu jf for life,Kama niliona unaaga JF. Kuna uzi unatuaga wana JF. Ila naona umeshindw ouondoka au unasubiri ban๐คฃ
Hutanii kuhusu Nini??, Yaani mwanaume amuonee wivu mwanamke ๐๐คฃKweli tena sitanii
Watu wa Jf ata kunibembeleza hakuna๐ kila reply nenda salama daah familia mmeniangushaSass ulivyoandika uzi ulitegemea tukuombe ubaki๐คฃ kwa sababu tunapenda story zako kule entertainment?
Jf ni arosto kuiacha mazima ni ujasiri,๐๐Nilisikitika sana familia bado inakukubal
Mwaka juzi niliaga uvumiliv ukanishinda nikarudi๐
๐๐๐๐๐ Wahuni si watu we haya usije ukalogwa huko au ukapakwa oil ๐ข๏ธ lotion ๐ข๏ธ๐ข๏ธDah kweli nimepitwa ngoja nifungue account mpya kesho. Naweka picha ID ya dada mzuri san nasajili na line kabisa mwaka huu lazima nijenge๐
Kuna wachawi huku๐๐๐๐๐๐ Wahuni si watu we haya usije ukalogwa huko au ukapakwa oil ๐ข๏ธ lotion ๐ข๏ธ๐ข๏ธ
Multiple id zinasaidia kwenye back up kama huku umepigwa ban sio vinginevyo mkuuu