Mh labda nyie wasichana mwenzangu, mume umeishi nae miaka nenda rudi ana muda wa kukuvua nguo saa ngapi, ila kama uko kwenye uhisiano mgeni au ndoa changa labda watajaribu ila huko mbelembele anapapasa anaona una nguo huyooooo anaanza kukoroma, kesho yake utaona kama utavaa tena