Kutosimama kwa uume

dsm-dsm

Member
Feb 23, 2016
58
9
Msaada jamani mwenzenu naweza maliza hata wiki /mwezi uume wangu hausimami,nini tatizo?

Asanteni.
 
Msaada jamani mwenzenu naweza maliza ata wiki /mwezi uume wangu hausimami,nini tatizo?

Kama uko Dsm ni sawa na kawaida tu, kwani vijana hupenda vilaini kuliko maelezo.

Any way iko hivi kama awali ulikuwa poa, hakikisha hautumii booster ya aina yeyote ile maana ndiyo utajimaliza kabisaa.

Jaribu badili vyakula kwa kupunguza shoprite foods & drinks too much kwa kupunguza kemikali nyingi mwilini ambazo ni haribifu,chipsi mayai, kuku wa kisasa na vyakula vyenye mafuta sana na ule vyakula vya asili kwa wingi.

Pata muda wa kutosha kumpumzika, kupunguza msongo wa mawazo, fanya mazoezi n.k.

Okay, kiukweli hili ni janga kubwa ambalo linakuja kwa kasi kwa Taifa na Dunia nzima hasa kwa nchi zinazo endelea kama Tz, kwa sababu ya poor Diet kwani mtu anadhani kula Roasts, chipsi ni Mlo Kamili kumbe siyo anajimaliza.

La msingi pia Hakikisha unaenda kupima kisukari, presha n.k. maana yote pia husababisha.
 
labda una mawazo sana kuhusu maisha
au una stress kibao
ungetupa na lifestyle yako kwa ufupi ndio tungeweza kukushauri vizuri
kama vile unafanya kazi gani, changamoto za kijamii na za kimaisha ulizonazo, unakula vyakula gani n.k
 
Hiyo haitakiwi.

Uume unatakiwa kila asubuhi unyanyuke, na kwa kawaida ukiwa umekaa hufanyi chochote labda umetulia, uume mara nyingi unastuka.

Sasa nashangaa unaponiambia wiki nzima, kitu hakinyanyuki.

Nafikiri utakuwa na matatizo ya kiafya kiasi fulani.

Hebu nikuuklize swali kabla ya kuendelea:-

Unapoenda haja kubwa Uume wako hausimami?
 
Swali lingine:-

Mara yako ya mwisho kufanya tendo la ndoa ilikuwa lini?
 
Kama uko Dsm ni sawa na kawaida tu, kwani vijana hupenda vilaini kuliko maelezo.

Any way iko hivi kama awali ulikuwa poa, hakikisha hautumii booster ya aina yeyote ile maana ndiyo utajimaliza kabisaa.

Jaribu badili vyakula kwa kupunguza shoprite foods & drinks too much kwa kupunguza kemikali nyingi mwilini ambazo ni haribifu,chipsi mayai, kuku wa kisasa na vyakula vyenye mafuta sana na ule vyakula vya asili kwa wingi.

Pata muda wa kutosha kumpumzika, kupunguza msongo wa mawazo, fanya mazoezi n.k.

Okay, kiukweli hili ni janga kubwa ambalo linakuja kwa kasi kwa Taifa na Dunia nzima hasa kwa nchi zinazo endelea kama Tz, kwa sababu ya poor Diet kwani mtu anadhani kula Roasts, chipsi ni Mlo Kamili kumbe siyo anajimaliza.

La msingi pia Hakikisha unaenda kupima kisukari, presha n.k. maana yote pia husababisha.
Umli uko vipi?
 
Dah pole sana ebu nenda hospitali maana hicho kitu kwangu n kigeni kutocmama kabisa
 
Hiyo haitakiwi.

Uume unatakiwa kila asubuhi unyanyuke, na kwa kawaida ukiwa umekaa hufanyi chochote labda umetulia, uume mara nyingi unastuka.

Sasa nashangaa unaponiambia wiki nzima, kitu hakinyanyuki.

Nafikiri utakuwa na matatizo ya kiafya kiasi fulani.

Hebu nikuuklize swali kabla ya kuendelea:-

Unapoenda haja kubwa Uume wako hausimami?
Ameshasema kuwa wiki nzima uume wake haujasimama/hausimami,
 
Ameshasema kuwa wiki nzima uume wake haujasimama/hausimami,
Ndio maana nimemuuliza/nilimuuliza swali hilo, pengine akili yake haikufikiria muda wa haja kubwa.

Kwahiyo aangalie anapoenda haja kubwa Uume wake kama hausimami?

Na swali lingine nililomuuliza:-

Je mara yake ya mwisho kufanya tendo la ndoa ilikuwa lini?
 
Back
Top Bottom