Kutokwa jasho wakati wa kulala

Kutokwa jasho wakati wa kulala

kichelepure

Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
95
Reaction score
36
Mtoto wa miaka minne anatoka jasho jingi akiwa amelala usingizi ila baada ya muda linakauka.akilala wakati wa usiku au mchana.naomba ushauri je ni tatizo au kawaida?
 
Ni maumbile tu. Kuna wengine wanaotkwa na jasho lingi sana kwenye viganja vya mikono. Kuna ambao wanatokwa na jasho lingi sana kwenye nyayo za miguu.
 
Msaada:nasumbuliwa na maumivu ya kichwa upande mmoja na nikiwa na Mafua tundu la pua lililopo upande ule wa kichwa wenye maumivu makamasi yanayotoka yanachanganyika na damu.naomba mwenye kujua hili ni tatizo gani?
 
Back
Top Bottom