Kutoa ushuhuda kuhusu suala la ajira

Hongera sana mkuu kwa kupata kazi na kushare na sisi. Na sie wengine bado tunasubili nafasi yetu. Mungu atasaidia soon tutapata pia.
Bless.
 
Hongera sana mkuu kwa kupata kazi na kushare na sisi. Na sie wengine bado tunasubili nafasi yetu. Mungu atasaidia soon tutapata pia.
Bless.

thanks sana! naamini nafasi yenu pia itakuja. my duty now is to pray kwa ambao bado wanatafuta kaz kama ilivyokuwa kwangu! Good Luck!
 
Amina natamani nami nije nitoe ushuhuda kama wako. Hongera sana mkuu
 
Nikisikia kazi ya kuajiriwa natamani kutapika, utumwa mtupu., yaani dume zima unapangiwa muda wa kuamka, kuingia kazini, kunywa chai, kula lunch, kuondoka, kupumzika, aisee,,hayo yanaitwa mateso bila chuki, KUJIAJIRI NDIO MPANGO MZIMA.

Nidhamu ya kazi ndio mpango mzima, kama huna hiyo hata ukijiajiri ni kazi bure, Sasa wewe jiajiri alafu uwe unaamka saa 6 mchana kila siku ndio utaona matokeo yake. Kujiajiri haina maana uhuru wa kupitiliza na uliokosa nidhamu katika mipangilio yako ya kila siku. Wise up kijana!
 
Nikisikia kazi ya kuajiriwa natamani kutapika, utumwa mtupu., yaani dume zima unapangiwa muda wa kuamka, kuingia kazini, kunywa chai, kula lunch, kuondoka, kupumzika, aisee,,hayo yanaitwa mateso bila chuki, KUJIAJIRI NDIO MPANGO MZIMA.
Khaa we si umeajiriwa kwa posho ya buku saba kwa siku ama??
 
nashukuru sana mdugu akiomwa, unazid kunipa matumain kwa asilimia 100, kuendelea kukomaaa...

uwezi hamini, mm pia jumapili ya tareh 10/5/2015, nilisafili kutoka mkoa wa kagera kuja kufanya usail ambao tulikuwa tumeitwa watu 278, na waliweza kuhudhuria watu 102, lakin nilijikuta nakuwa wa 6 kwa alama 54, ingawa nilipitiw na mstari na kupewa status ya unselected, nilijikuta napata nguvu ya ajabu pamoja nakuombea hii tume iendelee kusimama katika haki..

kiufupi umeendelea kunijaza matumain, thank u
 

Congratulations mkuu ngoja na sisi tupambane I hope kitaeleweka Kwa uwezo wa mungu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…