bado mtihan mgumu unakusubiri unaitwa "jinsi gani utayamudu maisha" hiyo mishahara ya vilak lak hku umekaa ofcn tu mda wote ni shiida
Nikisikia kazi ya kuajiriwa natamani kutapika, utumwa mtupu., yaani dume zima unapangiwa muda wa kuamka, kuingia kazini, kunywa chai, kula lunch, kuondoka, kupumzika, aisee,,hayo yanaitwa mateso bila chuki, KUJIAJIRI NDIO MPANGO MZIMA.