Kutana na nabii Dominic kiboko ya wachawi, nimeshuhudia miujiza ya kushangaza licha ya ubishi wangu

TRA wawaangalie na hawa watu wanaojiita manabii,nao ni wafanya biashara

Wanapata ujasiri wa kuibuka kila siku kwasababu mapato yote ni ya kwao...nyinyi TRA mkianza kuwatambua nao watapunguza kujitangaza

Nashauri kodi yao iwe juu kidogo
TRA wenyewe Unakuta Wana magumu Yao wanahitaji ufumbuzi .Shida Haina Cha TRA Wala Nini

Kumbuka kikombe Cha Babu wa Loliondo walienda Hadi TRA,wabunge,mawaziri,wajaji , viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama nk

Shida Haina baunsa.Jeuri mtu anakuwa nayo akiwa mzima tu
 
TRA wawaangalie na hawa watu wanaojiita manabii,nao ni wafanya biashara

Wanapata ujasiri wa kuibuka kila siku kwasababu mapato yote ni ya kwao...nyinyi TRA mkianza kuwatambua nao watapunguza kujitangaza

Nashauri kodi yao iwe juu kidogo
Acha ubishi wewe kapewe upako wa papuchi uache ukahaba.

Wenzako wanaolewa wewe uko bize unabwata mitandaoni.
 

Ukijumuisha hivyo mbona wafanyakazi wa TRA wanaumwa na wanaenda hospital na bado hospital inalipa kodi kama kawaida
 
USSR alipotea hapa jukwaani Kwa muda sasa,

YESU ni Bwana
 
How special is your prophet without prophesy? Acha kujitoa ufahamu,soma maandiko, KARAMA za Roho mtakatifu Ni zawadi kwa kila muamini aliyejazwa Roho mtakatifu
acha kutukuza binadamu, hata faraoh alitumia waganga wake kufanya Miujiza Kama ya Musa
 
Hu
Huo usomi wako uko wapi sasa, kama na wewe umejiingiza na kuwa sehemu ya hayo magenge yanayowapora wenye matatizo hata kidogo walichonacho. Hili ni tangazo la biashara, mnafanya uhuni sana kutumia matatizo ya wenzenu kujikusanyia utajiri.
Uliwahi kuleta uzi wako humu kuwa ulimpiga muhindi maelfu ya dola, ukaficha kwenye soksi ukasepa, tangu miaka ile nilikuona janja janja tu.
 
Ona aibu Mkuu..!!

Umelipwa Shng ngapi!?
 
Matangazo kama haya ya biashara yanatakiwa kulipiwa bila shaka.
 
Kmanyoko pumbavu kabisa mwizi wewe
Nyang'au....
 
Hii biashara isiyolipa kodi. Mwanetu mmoja anakulaga 50k zake za kufanya maigizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…