MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,588
aaah!!
mi nadhani huyo rafiki yako amekosea sana!
waliogombana ni wao lakini wale "rafiki wawili" (jogoo na mtetea) hawajagombana wanatakiwa waendelee kusalimiana!!
Je wanajamii.......... Is it possible kutenganisha hivi vitu viwili?
no huyo dada kakudanganya kitu flani,
kwa siku mbili wamegombana, wakachuniana maana yake walikuwa hawaongei hawa kila mmoja akawa na 50 zake.
then jamaa aje moja kwa moja na kuanza ''kudai tunda la uhuru'' si kweli,
muulize kisa cha ugomvi kilikua nini mpaka wachuniane?
vitu gani hivyo unaongelea hapo?
Kweli JF patamu...vituko haviishi..hii ndiyo ya kufunga wiki eh??? one simple thing...mtu amekukosea, umekasirika naye, utatoa wapi raha ya kumpa mchezo!!! hana haki yoyote kumzaba mwenzie kibao...duh kama ingekuwa mimi nimgemwekelea nyundo hapo hapo!!!!
George_Porgie mvivu wa kusoma!
Kwenye thread hapo nimeandika : kutenganisha hasira na ile starehe!
Jamani
Hapo kwa maoni yangu kuna kitu hakijakaa vizuri, yaani wagombane, kisha jamaa aend enyumbani kwake na kuomba mchez (ina maana hawakai pamoja) hiyo inakujaje? MJ1 hebu muulize chanzo cha ugomvi ni nini, cause kama ulikuwa kweli ugomvi, asingeweza eti kwenda hadi kwao na kufikia kulala kitandani na kuomba mchezo na binti kubana miguu!
Chanzo ni nini? simtetei mwanaume lakini mazingira ya huu ugomvi yamekaa kinamna namna!
Nikirudi kwenye swali la msingi...ni vigumu kutenganisha hasira na starehe....kama kuna mwenye hasira hapo hakuna starehe, hata katika vitu vya kawaida,, lakini pia kama hasira ipo ni kuiondoa kwanza na sio kuipalilia. walichotakiwa kufanya ilikuwa kutatua kwanza ugomvi wao, labda binti badala tu ya kubana miguu,, angempooza kwanza jamaa ili wayaongee yaishe kabla ya kumpa kidude,, au huyo binti hajafundwa?
Oooh, kumbee!
aisee ile starehe bana yataka akili i-relax, ukiwa na hasira starehe haipandi kabisaaa, ndo maaana jamaa katolewa nje matokeo yake hasira ikampanda.
ila hapo nahisi jamaa hakutumia busara hata kidogo alikua analazimisha, mwanamke hata akasirike mpaka atake kupasuka ukimwingia na maneno mataamu ya kumpoooza mbona anakuelewa na mzigo anakupa bila nongwa!, wanawake bana wameumbwa na huruma ya hali ya juu, huruma ya ukweli toka moyoni.
Kusema ukweli kaka sikuuliza chanzo cha ugomvi wa juzi mie nilichouliza ni kwa nini kapigwa lol si unajua mie nlishaathirika na hawa wadudu so nikisikia ugomvi basi nafanya reference lol.... sifai kuwa hakimu!
Ila Zamaulid kaniambia eti mkigombana nyie wale marafiki wawili hawagombani yaani hapa kaniacha hoi asa huyu mwangu mie akija....... ntaweza kwelimpokea? kama hataambulia mateke lol
Si rahisi kutoa ushauri ambao utabalance pande zote mbili (Mume na Mke) mpaka akueleze vyema waligombania nini mara ya kwanza. Inawezekana kabisa ni muendelezo wa ule ugomvi wa awali. Labda jamaa alikuwa hana imani na huyo dada na dada naye akawa anabisha wakatoutiana. sasa jamaa kuja kuomba tunda baada hizo siku 2 na kunyimwa inawezekana akaona ndio yale yale akamuua ku "loose control" ya mikono yake.
Mmmmmmmn,mbaya wee