Kusoma Sheria Open University

goodfool

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
1,668
Reaction score
996
Naomba kujuzwa kama naweza kusoma sheria huku nikiwa sipo chuoni moja kwa moja. Yaani nikiwa naendelea na shughuli zingine.

Naomba list ya vyuo kama vipo, vya Tanzania pekee, gharama na jinsi ya kujiunga. Asanteni.
 
Mkuu mwaga uzoefu hapa
Unaapply ukipata unaenda kufanya registration .Ukilipia nusu ya fee unapata akaunti kwenye mfumo wao wa kujifunza unaitwa Moodle.Hapo utapata materials zote na pia hard copy unaeza pata.Kuna majukwaa ya discussion ,Kuna assignment huko.Mitihani Kuna annual na test hizo ndo zinaamua upate grade gani kwenye kozi.Ada Ni kwa unit na unit moja ni 60000Tshs.Nilipiga LLB 3 years kwa fee kama ya 3M na kidogo.
 
Mimi pia nilisoma utawala miaka 8 iliopita, mwaka jana nikapata shauku ya kutimiza ndoto zangu kwa kusomea Sheria. Nilijiunga na Open university kwasasa nipo second year shule inaenda vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…