Jua limeshazama mtu anatapatapa...ila nikwambie kitu mkuu
Hakuna kitu mwanaume anachanganyikiwa kama kampenda dem na akimkuta dem bikra
Daah,ni ngum kuelezea
Mim nina experience moja ya hatar,..i met ths girl nikamtoa bikra yake she waz 20yr i was 21...tulipendana sana na huyu dem.it was crazy,she was evrythn to me,..niseme she was my real first lv kiukwel,tulidum kwa 3yrs,ila chamoto nilikipata,huyu dem nilikua namwabudu yan,yaan alikua ananitetemesha vbaya mno..alijuaga nampenda sana so alikua ananipeleka kama gar bovu...yaan ilikua niko radhi kumhonga boom lote nkabak na mia na nikaenda piga Rb(rice n beans)