Kuripoti Udom bila Admission letter!

naongeaa nikiwa na ushahidi.... kwa nyieee mliombeaaa nacte majina baado hayajapelkwaa chuoni,,,(udom) kwaiyooo waliofikaa juzi jumamosii,, waliambiwaa waende nacte kudai majina,,, najibuu nikwamba wameambiwaa wasubiri mpka mwezi wa 12,


hii ndo tz,,, kaka,,, bora uendee nacte kulikoo kuharibuuu naulii mpka udom,,, safari njema
 

Nini kinakufanya kila unapomaliza neno uandike irabu mbili? Na wewe upo university?
 

Mwez wa 12 tena????
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…