Kuripoti Udom bila Admission letter!

Mr egm

Senior Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
154
Reaction score
6
Wanajamvi habar za majukum ?
Naomba ushaur wenu nimechaguliw udom na nna mda kdgo ila bado sijapata admission letter na chuo Nov.14 jana wamefungua!
Na nimeona humu taarifa za kushtua kuwa kuna wanafnz first year wenzang jana wamekataliw bila admission letter!
Ushauri tafadhal na matus hayaa ruhusa
 
Ulifatilia admission letter yako kupiga simu kwa mamlaka husika kuwa pengine kuna tatizo kwenye kupata admission letter yako
 
simu huw hazipokelew mkuu!
 
mwenye mawasiliano ya uhakika basi anisaidie wakuu!
 
Ingia kwenye web upate uhakika wa number zao za simu
 
Dogo nenda chuo admission letter utaikuta hukohuko
 

Jina lako lipo kwenye orodha ya chuo, ? Majina hayo waliyaweka kwenye website yao "kama ndio nenda chuo
 
Tatizo linatokana na nacte kuchelewa kufikisha majina TCU, nina tatizo kama lako lakini sikuchagua UDOM.
 

ingia kwenye website ya chuo then kuna sehemu imeandikwa adimission latter ingia hapo utajaza taarifa zako then unapata adimission latter
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…