N Ninaweza Platinum Member Joined Dec 14, 2010 Posts 14,917 Reaction score 10,628 Nov 25, 2014 #21 MANI said: Hivi kwa nini bunge lisipige kura ya kutokua na imani na raisi? Click to expand... wabunge wa ccm hawawezi na ndo wengi
MANI said: Hivi kwa nini bunge lisipige kura ya kutokua na imani na raisi? Click to expand... wabunge wa ccm hawawezi na ndo wengi
KIKOSIKAZI JF-Expert Member Joined Aug 12, 2014 Posts 2,219 Reaction score 1,150 Nov 25, 2014 #22 Wahisani kujeni pande hii
O Omnibus JF-Expert Member Joined Sep 6, 2013 Posts 203 Reaction score 39 Nov 25, 2014 #23 Chakaza said: Hivi hao majaji ni kina nani? Tunapaswa kuwafahamu. Ipo siku nchi itavamiwa na na waliotuvamia watapeleka zuio mahakamani kuwa JWTZ ISIJIBU MASHAMBULIZI hadi hapo shauri la msingi litakapozungumziwa mahakamani kwa hiyo wacha watuchape tuu. Click to expand... Mkuu umefikiria mbali,
Chakaza said: Hivi hao majaji ni kina nani? Tunapaswa kuwafahamu. Ipo siku nchi itavamiwa na na waliotuvamia watapeleka zuio mahakamani kuwa JWTZ ISIJIBU MASHAMBULIZI hadi hapo shauri la msingi litakapozungumziwa mahakamani kwa hiyo wacha watuchape tuu. Click to expand... Mkuu umefikiria mbali,