Ukimaanisha haujui hiyo password na hauwezi ku-log in unless kama una guest account?Perhaps ulimuachia mtu aka-create account au yaweza kuwa ni issue na virus infection...
Restart computer wakati inawaka press F8 then select boot in Safe mode ikishawaka ingia kama Administrator, then click Start>control Panel>useraccount click account yako, click remove my password
Ukimaanisha haujui hiyo password na hauwezi ku-log in unless kama una guest account?Perhaps ulimuachia mtu aka-create account au yaweza kuwa ni issue na virus infection...
ni kitu ambacho hakiwezekani kwamba umefuate vizuri maelezo ya POST NO.3 na haikufanya kazi labda hujui username yako, ulifanikiwa kuingia na account ya admin kwa Safe mode?