Nimeshajaribu mkuu, Lakin password situmiwiReset hizo password or username
angalia kwenye message ya kawaida kama kuna ujumbe wametuma ?Ni matumain yangu mpo salama nahitaji msaada Kwa hili,
Wakuu sijui kama ni Mimi tu.
Nilikuwa najaribu kumuombea AVN number mdogo wangu nimeanza hatua ya kwanza vizuri hadi nikapewa password na username (NAVS).
Lakin chakushangaza Kila nikijaribu kulogin Ili niendelee natartibu zingne system Inaniambia password or username is incorrect, nimejaribu mpka nimetokwa na jasho.
Je, hili tatzo ni kwangu pekee au Kuna mwingne imeshamtokea, na nini nifanye Ili kuendelea na process.
Nimefanikiwa lakin mbna malipo kwangu inaonyesha ni kia's kile kile elfu kumini shida kwanza wameongez kutok 10k mpk 20k alaf unalipia af then dashboard ina display paid amount 0
Nimefanikiwa lakin mbna malipo kwangu inaonyesha ni kia's kile kile elfu kumi
Mkuu bado hujafanikisha kupata AVN number nahitaji kukusaidiakwa kwel avn aise zinakwamisha sana ndoto za watu na mfumo wao unazingua
mkuu bado hujafanikisha kupata AVN number nahitaji kukusaidia
Tupo pamoja mkuunilishapata kaka.asante sana kwa msaada wako
Kulingana na hiyo attachment uliyoituma hapo...kuna watuwaliohitim diploma kuanzia 2015..wao walishaanza kutumia Mtaala mpya na kulianzishwa kitu kinaitwa NTA levels...hivyo wao hulipia 10 ila wale waliosoma nyuma ya hapo...inaitwa Non NTA ...20 inahusikaaise au nimetengeza control no ya kulipia meli