NIMEIPATA SEHEMU NIKAONA TUMSAIDIE
Habari...tumeokota vyeti vya ndugu GODFREY J SIRINGWE aliyesoma O Level Majengo Sec Moshi na kuhitimu October 2011 na kujiunga na UDSM kwasasa ... Kwa yeyote anayemfahamu Tafadhali awasiliane na 0718818695 /0718199793 kwa msaada zaidi namna ya kuvipata...
Tunomba tuusambaze ujumbe huu magroup mengine ikiwa ni kumsaidia ndugu kuvipata vyeti vyake
Ahsante