mmasai mmoja alikuwa safarini,huku amenunua chupi mpya na kuivaa,walipofika njiani akajisikia haja kubwa,akamuomba suka ashuke akafanye mambo porini,kwa kuwa giza lilikuwa limeshaingia,suka akamwambia angalia sana,sehemu hii c nzuri kuna wezi sana,jamaa kashuka na tochi yake,kajisaidia,kumbe alisahau kuvua chupi,kamaliza na kumulika alipojisaidia,akakuta hamna kitu!kapanda garini,nakumwambia suka,kweli nimekuamini,kuna wezi sana hapa,wanaiba mpaka mavi