Hahahahaaa kipozeo kaingiaje hapo!We unatafuta bifu na Shehe Kipozeo.
Babu tale.Kwahyo ngoswe no nani hapo mkuu?
Mimi naona kawaida tu wasanii wa kitz Wanapenda kuiga wanavyoona wenzao wa Marekani wanafanaya, ikiwemo kusuka nywele, kuvaa hereni na cheni zenye alama ya misalaba.Kwan kina ubaya mkuu kama unajua chochote sema mkuuu tujue