Kuna nini nyuma ya pazia? Mikufu wanayovaa members wa WCB yote inafanana

kinundu

JF-Expert Member
Oct 12, 2016
2,029
2,128
Salam kwenu... Nimejaribu kuwafuatilia hawa wasafi naona wote wanavaa mkufu wenye kaalama kama ma msalaba sijui no agizo toka kwa top management. Ama kunakitu wanaabudu ama ni sare kwao... Na nimeona waislam wakiponda hiyo mikufu kwamba ni ishara ya kushabikia ushetani ama ukristo
df7c058f6917027f618529f31d6a8ede.jpg

Vanny boy
3a3f302c35888d1f72cd58f74294e91d.jpg

Boss simba
74c58b7779ab8c55a543937ddd80c5a9.jpg
lava lava na konde boy
b2af58b8927857ae6bf931897d667db4.jpg

Mavoko

8c982ca43c7ff4310cb2b39d5ff35f0a.jpg

WCB WOTE KWA PAMOJA
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom