Kuna mlipuko huko Tehran

Adiosamigo

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
10,615
Reaction score
13,997
Inaripotiwa mlipuko katika nyumba moja huko Tehran inayokaliwa na maafisa wa Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Iran (IRGC).

Your browser is not able to display this video.
 
Ndipo alipojificha Ayatollah? au wanatafuta kisingizio kwa Israel kumbe wamemuua wenyewe au alidanja kitambo so wanaandaa mazingira kama Jiwe alivyoandaliwa.

Yule General Spy wa Israel utasikia kapona bila majeraha maana vifo vya wenzake lazima awe maeneo ya karibu
 
Myahudi hana makubaliano kabisaa mnafikiri babu Ayyatolah hayajui hayo mpaka leo kajifungia ardhini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…