Mkuu naona tangu umeweka post yako haujapata michango yoyote ya wadau. Pengine hali hiyo imetokana na ukweli kwamba utapeli wa aina hiyo kwa wasaka ajira umeshajadiliwa sana hapa JF.
Hata huko Zoom Tanzania kwenyewe ulikotaja wameweka kabisa angalizo kwa watu kutokutuma fedha kwa taasisi yoyote inayotangaza nafasi za kazi kupitia mtandao wao.