Kumtawala mtanzania simple

Watanzania ni watu wa ajabu sana, na wanasahau harak san kwasababu ya pesa! Ila ninachoamini ni Kuwa lowasa hawezi kuwa rais, kwanza ndan ya CCM hatoki na akitoka ukawa tunamsubiri kaz iwe rahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…