Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,550
- 6,107
Ahahaaaa ndio yeye mkuuLakini nahisi kama wamefanana
HuyuLakini nahisi kama wamefanana
Kweli mkuu ndio huyu huyu. Naona yupo kikosi maalum cha magereza (KM)ndiye yeye pia alikuwepo jumba la dhahabu.
kipindi hicho kwa kuvaa uhusika akiigiza ni askari,nikajua huyu atakuwa askari kweli.askari hajifichi.
Ni yeyeeHuyu mwamba alicheza Movie ya MISUKOSUKO akiwa kama RPC mla rushwa movie iliyo tamba sana na inayo endelea kutamba mpaka sasa.
Picha ya kwanza akiwa kwenye majukumu yake kama askari Magereza. Picha zinazo fuata akiwa katika kazi yake ya sanaa. View attachment 1505593View attachment 1505594View attachment 1505595
Ili asisahaulike anajitahidi atukumbushe na kujipromotiukute ndo wewe mleta mada.
Duh!Ili asisahaulike anajitahidi atukumbushe na kujipromoti
ukute ndo wewe mleta mada.
Dah! Yani isha kuwa tabu mkuusaivi JF hata mtu akileta video ya ushahidi wa ubakaji mtasema ni yeye anaji promote