Kumbe mh Zitto nae yumo...

mpemi Zitto break apumnzike. Anapopiga Rais wako kila akisafiri kwenda nje ya nchi lazima apige picha na celebrity, lkn kwasababu ni Gamba mwenzio basi hapo ni sawa tu.
 
Dah! Hilo jicho Zitto alilotoa! Anaonyesha ana kiu balaa!
 
Haaaa Ndio maana wema kaweza kununua nyumbaa!! Kumbe anakwakuchotea mipesa!
 
mpemi Zitto break apumnzike. Anapopiga Rais wako kila akisafiri kwenda nje ya nchi lazima apige picha na celebrity, lkn kwasababu ni Gamba mwenzio basi hapo ni sawa tu.

Hee!!!!!!!! na mimi nimekuwa gamba leo?? Punguza jazba mkuu, relax, sijaipost hii picha for political reasons, its just for fun!!!!!
 
Eeeewwww @ the way Zitto is looking at Wema
 
Reactions: BAK
Eeeewwww the way Zitto is looking at Wema

lol! Karibu nipaliwe kwa kicheko hahahahah...Inaelekea G ukiangaliwa hivyo basi hizo upper cuts utakazorusha zitakuwa si za kawaida πŸ™‚πŸ™‚...sasa utachezaje muziki na partner wako bila kumuangalia?
 
lol! Karibu nipaliwe kwa kicheko hahahahah...Inaelekea G ukiangaliwa hivyo basi hizo upper cuts utakazorusha zitakuwa si za kawaida πŸ™‚πŸ™‚...sasa utachezaje muziki na partner wako bila kumuangalia?

Utazamaji wa kidhalilishaji huo, no thanks.

Nikiwa mie ndo nnacheza nae, nikishtukia natizamwa hivyo, I slap him and leave him right there on the dance floor πŸ˜€
 
zitto ni kama anasema vipi nipitishe mkono wa kushoto kwa chini.anajibiwa, napenda kama nini sema kina shigongo wapo subiri chumbani mwaya.
 
"wema geuka basi kidogo hivi...ewaa teh teh"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…