Kumbe kitambi kinameza dushelele?

amanda cute

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2016
Posts
244
Reaction score
457
Ni tamaa ya pesa tuu inayopelekea wanawake kutoka na mwanaume mwenye kitambi kiukweli hawa ni weupe sana kwenye majambozi yaani kidogo tuu anaanza kuhema balaa isitoshe kitambi kinameza dushelele.

Wengi wenye vitambi wana vibamia aisee ila wanahonga hao ili kuwafichia siri ebu punguzeni mibia na minyama hiyo mnatupaka shombo bomoeni ndambi hizo.

 
Alafu unaanza kuitafuta ova una kitu mafichoni
 
Eeh wanahonga ili iweje??!!
 
Utafiti wa Twaweza huu
 
Hahahaa imenijia taswira kichwani kuwa wakimilala hao wenye mitumbo huwa mnajambaga kishenzi maana kitambi peke yake kilo 60
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…