Kuku aina ya kuroiler.

kitanguz

Member
Joined
Jan 11, 2018
Posts
15
Reaction score
2
Wanauzwa kuku vifaranga vya mwezi mmoja.kuku aina ya kuroiler wanauwezo mkubwa wa kutaga mayai pia niwazuri na watamu kwa nyama wnauzito mkubwa kuanzia kilo mbili nakuendelea ndani ya miezi mitatu tu ni kuku wazuri na nyama yao ni tamu sana wanapatikana kwa order kila mkoa ukiwahitaji njoo pm..huduma ya ushauri wa kitaalam inapatikana bure kabisa!!!
 
mkuu yani vifaranga unauza sh 11,500.. acha kutupiga vyuma vimekaza..
 
mkuu nimeku-pm ukasema unauza 12,000 nikaomba punguzo ndio ukaniambia 11,500... Acha uwongo wewe au ndio maana unaogopa kuweka bei hadharani..Huu ni utapeli..
Hapana hujani pm mm nauza kuku mkubwa 12000 mdogo wa mwez 4500
 
Punguza bei haiwezekani 12,000/= kifaranga cha siku 3...
Halafu kumbe upo kongo DRC
 
mkuu nimeku-pm ukasema unauza 12,000 nikaomba punguzo ndio ukaniambia 11,500... Acha uwongo wewe au ndio maana unaogopa kuweka bei hadharani..Huu ni utapeli..
aisee hapa lazima upewe bei penda usipende
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…