Mwenye taarifa ya mgao wa Umeme atuambie kwani sasa hivi Tanesco wamekata Umeme maeneo ya ilala,Buguruni,vingunguti,Tabata na kwingineko. Hivi hii itaelekea wapi na hili suala la umeme
Mwenye taarifa ya mgao wa Umeme atuambie kwani sasa hivi Tanesco wamekata Umeme maeneo ya ilala,Buguruni,vingunguti,Tabata na kwingineko. Hivi hii itaelekea wapi na hili suala la umeme