Hii sheria naona ni nzuri ila ianze kwa awamu:
Awamu ya kwanza: magari ya mawaziri, spika, naibu spika, wabunge, makatibu wakuu, wakurugenzi, RC, DC, DED, IGP, RPC, wayanunue pale autorec au carjunction halafu baada ya miaka mitano tufanye tathmini. Ikilipa tuingie awamu ya pili..... lakini kuanza na meli na treni ambazo waheshimiwa hawatazipanda...HAPANA!!!