Kujifungua

UWOGA=UMASKINI

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
2,400
Reaction score
1,017
chakula gani nATAKIWA KULA BAADA TU YA KUJIFUNGUA KITU CHA KWANZA KULA.MSAADA
 
umejifungulia nyumbani? kama ni hospital muulize daktari wako.
 
Dada hongera kumpata mwana....Vyakula vinategemea na geographical location yako...
Ungekuwa Uhayani ningekuambia wakupondee ndizi Bukoba mixer maziwa na siagi ya kutosha...M
Mbeya Uji wa ulezi/Matoke mix maziwa na vikorombwezo vya Kinyakyusa/Kisafa/Kimalila/Kindali...
Mara Uch wa Moto Mura...
Moshi unapiga Kitawa (ndizi zilizopondwa & maziwa mtindi) plus Mlaso(damu ya ng'ombe inayotolewa shingoni & maziwa)
umasaini Kitalolo (Uji & maziwa)
Wenye kujua zaidi wataongeza...
 

Umenifurahisha hapo Kwa Mkoa wa Mara!!!! Huna Adabu na Wewe Nahisi Utakuwa ni Mtani Muhaya au Muha au Mrangi au Mnyiramba. Nimecheka Sana.
 
kwanza kabisa ili kuepuka chango
kunywa safari baridiiiii hiyo ni baada tu ya kudeliver ,hapo chango utaliskia kwa jirani,baada ya hapo kaa muda kidogo
muda piga maziwa fresh ya moto,ndio mitori na supu ifwate!!
 
Ulaya mkate na sausage
 
Aiseee.... safari baridi lol! Ndo naisikia hapa JF hii
 
mtwra utapikiwa ugali mgumu na samaki wa kukaanga
 
Navyojua Mimi ni supu, mtori na uji wenye pilipili manga vinasaidia kukupa maziwa vizuri, japo mi uji wa pilipili manga ulinishinda, but ukiiweza ni mzuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…