Inategemea maana mfumo umebadilishwa siku hizi hawafanyi online maana kuna wakuda walikua wanafanyiwa mitihani kwa hio wanafanya darasani km wengine hata hio ya darasani kuna wakuda bado walikua wanaenda kuwafanyia watu mitihani kwa hio paper inaweza ikawa asubuhi, mchana au jioni inategemea na ratiba itakuaje