mbona wameita watu kitambo sana na walioitwa tayari wameshaenda kuripoti kwa waajiri wao??wewe ndo umesikia leo au?unataka tuweke humu kwanini usiingie tu www.ajira.go.tz ukaangalia mwenyewe?
mbona wameita watu kitambo sana na walioitwa tayari wameshaenda kuripoti kwa waajiri wao??wewe ndo umesikia leo au?unataka tuweke humu kwanini usiingie tu www.ajira.go.tz ukaangalia mwenyewe?