Kuitwa kazini MIST

nasi

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
47
Reaction score
20
Wadau

Kwa wale waliofanya usaili chuo kikuu cha Sayansi na Technology Mbeya kuanzia phrase ya kwanza hadi ya tano, wameanza kupiga kwa waliofaulu,kama vp usikae mbali na simu yako,

Karibuni Mbeya, usisahau sweta au koti unapokuja!
 
wadau ni kupiga simu kwa waliofaulu
 
wadau kwa wale waliofanya usaili chuo kikuu cha sayansi na technology mbeya kuanzia phrase ya kwanza hadi ya tano,wameanza kupiga kwa waliofaulu,kama vp usikae mbali na simu yako,

Karibuni mbeya,usisahau sweta au koti unapokuja
We ulikuwa phase ya ngapi na umeshapigiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…