kiwembe1983
Member
- Oct 18, 2011
- 20
- 13
why dont you think outside the box.tumeshaitwa kazini umebaki wewe mjinga mjingahabari zenu wadau..
kuna yeyote mwenye taarifa kuhusu ile Oral interview ya TRA iliyofanyika pale msimbaz centre 28/03/2012 ya nafas za customs officers(40)?Je watu wameshaitwa kazini?naomba mwenye taarifa ya uhakika atujuze kinachoendelea.
Aksanteni.
why dont you think outside the box.tumeshaitwa kazini umebaki wewe mjinga mjinga
Yah mkuu tayari watu wameshapiga na Training ikiwa ni pamoja kupangiwa vituo vya kazi, Me kuna Binadamu wawili nawafahamu tayari wapo kwenye mchakato
Kwa muujibu wa mtu aliyepo humo Mamlaka walioitwa kazini nafasi za customs hivi karibuni ni wale waliofanya usahili December 2011. Waliofanya usahili March 2012 bado hawajaitwa.