Kauzu Kinyama Member Joined Aug 13, 2011 Posts 41 Reaction score 5 Aug 3, 2015 #1 Kwa upole na busara tu jamani naomba tuelezane ni wapi kumekuwa na fair play katika mchakato wa kupata wagombea wa uraisi kati ya CCM na CHADEMA. Kati ya Slaa na Lowassa nani kakatwa kwa kudharauliwa?
Kwa upole na busara tu jamani naomba tuelezane ni wapi kumekuwa na fair play katika mchakato wa kupata wagombea wa uraisi kati ya CCM na CHADEMA. Kati ya Slaa na Lowassa nani kakatwa kwa kudharauliwa?
JAMII-ASM JF-Expert Member Joined Jul 30, 2015 Posts 1,305 Reaction score 524 Aug 3, 2015 #2 Rough imechezwa kotekote....Lakini ya Dr Slaa..No..! Hakuruhusiwa hata kuitia fomu mikononi..Kaisikia kwenye bomba tu.
Rough imechezwa kotekote....Lakini ya Dr Slaa..No..! Hakuruhusiwa hata kuitia fomu mikononi..Kaisikia kwenye bomba tu.