Mdomoni na viganjani ni sawa? Sahihi ni vile wawili wanavyokkubaliana, mimi na wewe tunatoa wapi ubavu wa kusema hawako sahihi/ Binadam anajifunza mambo mapya kila siku, zamani mwanamke hatii dushe mddomoni hata kwa panga, zamani zaidi ngono ilikuwa inafanywa chali tu, hebu sema position unazofanya na mkeo leo, mababu wangesema haram.
Makubaliano ya wawili chumbani kama hayakuletei kero ya namna yoyote ile hauna haki ya kuyafuatilia, huwezi kuwafundisha ngono binadamu, hata mbwa wako tu huwezi kumfundisha. Story za kulegea mishipa huwa siziamini kabsa, ingekuwa inalegezwa na mijivi.