teac kapex JF-Expert Member Jan 23, 2011 470 136 Mar 25, 2019 #1 Wadau naomba mwenye ujuzi wa kuchakachua modem ya voda ili isome line zote aweke hapa mautundu
thesym JF-Expert Member Aug 15, 2012 3,797 4,688 Mar 25, 2019 #2 teac kapex said: Wadau naomba mwenye ujuzi wa kuchakachua modem ya voda ili isome line zote aweke hapa mautundu Click to expand... Maelezo hayajajitolesheleza kwa sababu si watu wote wanatumia na kujijua modem ya voda. Kwa hiyo ungetaja kampuni iliyotengeneza modem (huawei, zte etc) na model number. Kwa ukitaja hayo inakuwa inasaidia kufahamu tools zinazoweza tumika ku-unlock.
teac kapex said: Wadau naomba mwenye ujuzi wa kuchakachua modem ya voda ili isome line zote aweke hapa mautundu Click to expand... Maelezo hayajajitolesheleza kwa sababu si watu wote wanatumia na kujijua modem ya voda. Kwa hiyo ungetaja kampuni iliyotengeneza modem (huawei, zte etc) na model number. Kwa ukitaja hayo inakuwa inasaidia kufahamu tools zinazoweza tumika ku-unlock.
teac kapex JF-Expert Member Jan 23, 2011 470 136 Mar 26, 2019 Thread starter #3 Aina yenywe ni hii Sent from my TECNO L9 Plus using Tapatalk
thesym JF-Expert Member Aug 15, 2012 3,797 4,688 Mar 26, 2019 #4 teac kapex said: Aina yenywe ni hiiView attachment 1054172 Sent from my TECNO L9 Plus using Tapatalk Click to expand... Hiyo modem ni ZTE K3772-Z unaweza ku-unlock kwa kutumia dc unlocker, baadae nitakuwekea crack yake au unaweza tafuta mwenyewe. Hapa kuna hatua za kufuata za kufanya modem ikibali lines zote. ZTE K3772-Z detect and unlock procedure Pia tafuta humu JF ilishawahi elezewa miaka hiyo. Mkuu unatumia modem ya zamani.
teac kapex said: Aina yenywe ni hiiView attachment 1054172 Sent from my TECNO L9 Plus using Tapatalk Click to expand... Hiyo modem ni ZTE K3772-Z unaweza ku-unlock kwa kutumia dc unlocker, baadae nitakuwekea crack yake au unaweza tafuta mwenyewe. Hapa kuna hatua za kufuata za kufanya modem ikibali lines zote. ZTE K3772-Z detect and unlock procedure Pia tafuta humu JF ilishawahi elezewa miaka hiyo. Mkuu unatumia modem ya zamani.
teac kapex JF-Expert Member Jan 23, 2011 470 136 Mar 26, 2019 Thread starter #5 Kwani kwa sasa ni modem gani nzuri iliyo na speed na isiyochagua line? Sent from my TECNO L9 Plus using Tapatalk
Kwani kwa sasa ni modem gani nzuri iliyo na speed na isiyochagua line? Sent from my TECNO L9 Plus using Tapatalk
dronedrake JF-Expert Member Dec 25, 2013 23,220 54,883 Mar 26, 2019 #6 teac kapex said: Kwani kwa sasa ni modem gani nzuri iliyo na speed na isiyochagua line? Sent from my TECNO L9 Plus using Tapatalk Click to expand... speed ni ISP wako, siyo modem mkuu
teac kapex said: Kwani kwa sasa ni modem gani nzuri iliyo na speed na isiyochagua line? Sent from my TECNO L9 Plus using Tapatalk Click to expand... speed ni ISP wako, siyo modem mkuu
de98 JF-Expert Member Aug 13, 2017 732 744 Mar 26, 2019 #7 njoo inbox m nakusaidia bure kabisa sihitaji feza yako ni secunde chache tu iyo inafunguka!