Kwani wewe unatofauti gani Na roboti[/QUOT
Bado wapo wengi endelea mh magufuli wanaisoma namba vizuri
kubana matumizi hakuhusian direct na kuimarisha shilingi, shilingi itaimarika significantly endapo tutafanya export nyingi na tujipunguza consumption ya imported goods
hiyo ya serikali kukadhibiti safari za nje inasaidia kupunguza demand ya dollar ila kwa kiasi kidogo sana kiasi kwamba huwezi ukaona impact
Kwa kifupi ili shillingi yetu iimalike tunahitaji kuwa na fedha ya kigeni ya kutosha nchini [ FOREX]; sasa hiyo forex inaweza kuongezeka kwa kuuza bidhaa nyingi nchi za nje; kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kwa kutumia fedha ya kigeni kama vile kuthibiti safari za watumishi wa umma; kuwahamasisha wananchi watumie bidhaa za ndani ya nchi. Pamoja na yote hayo kuna umuhimu wa kuweka sera ambazo zitavutia watu wa nje waweze kuleta fedha zao nchini mwetu. Kuna ushindani mkubwa sana wa kuvutia watu wa nje kuleta fedha zao nchini kwetu hasa wakati huu ambapo marekani wameongeza interest rate !!!