Naomba ushauri ndugu zangu, nina mtaji wa M15 nataka nifungue kiwanda cha kukoboa mpunga, je hela hyo itatosha?, biashara hii inalipa?, yapi maeneo mazuri yakufanyia kwa wilaya ya mvomero mana mim sio mwenyeji hapo?
Naomba ushauri ndugu zangu, nina mtaji wa M15 nataka nifungue kiwanda cha kukoboa mpunga, je hela hyo itatosha?, biashara hii inalipa?, yapi maeneo mazuri yakufanyia kwa wilaya ya mvomero mana mim sio mwenyeji hapo?
Daaa hapo mashine mkuu znatofautiana ubora mfano huku maeneo ya mngeta ifakara kuna mashine za kisasa zinafungwa moja imenunuliwa sh mil10 yenye kinu cha chini but ingekuwa vyema ukawatembelea wenye mashine na ukafanya utafiti kabla hujaingia huko.
Kuhusu faida hizi mashine zinawalipa sana hasa ukiwa karibu na wafanya biashara mfano huku nilipo mimi gunia kukoboa la debe kumi ni sh elf5 na mabosi wenye mashine wanachofanya baadhi wanakuwa na watu wao wakaribu wanao waamini wanawapatia mitaji na kwenda shamba kununua mipunga then wanakuja kukobolea hapo hapo kwenye mashine zao faida wanabeba mtaji unabaki wa boss na hela ya kukobolea unatoa so jaribu kufanya utafiti kwanza.
Daaa hapo mashine mkuu znatofautiana ubora mfano huku maeneo ya mngeta ifakara kuna mashine za kisasa zinafungwa moja imenunuliwa sh mil10 yenye kinu cha chini but ingekuwa vyema ukawatembelea wenye mashine na ukafanya utafiti kabla hujaingia huko.
Kuhusu faida hizi mashine zinawalipa sana hasa ukiwa karibu na wafanya biashara mfano huku nilipo mimi gunia kukoboa la debe kumi ni sh elf5 na mabosi wenye mashine wanachofanya baadhi wanakuwa na watu wao wakaribu wanao waamini wanawapatia mitaji na kwenda shamba kununua mipunga then wanakuja kukobolea hapo hapo kwenye mashine zao faida wanabeba mtaji unabaki wa boss na hela ya kukobolea unatoa so jaribu kufanya utafiti kwanza.