Sio rahisi ki hivyo mkuu!! Ndio maana lazima upitie polisi, na wao ndio wafanye kazi hiyo, kupitia kampuni ya simu, kupata taarifa za hiyo simu!! Kwani akifanya mfanyakazi wa customer care, ki magumashi, akaenda huko yakatokea majanga, labda ya kuuana, kuumizana lazima awajibike tu!! Mimi kuna ndugu yangu kabisa alinikatalia katu katu kufanya hiyo, nikapambana mwenyewe hadi nikamkamata mwizi wangu, kwakuwa kuna mlinzi wa kizungu(program) alikuwa ndani humo!!