Ku-trace lacation ya numba ya simu

Mzee inabid uwe na vifaa/program maalum ambavyo vinauwezo wa kufanya hiyo kazi, na kumiliki vifaa ivyo lazima uwe na kibali toka serikali maana vinahusiana na usiri na usalama wa mawasiliano. Ukikutwa navyo hapo kazi unayo. Telecom Company taasi za ulinzi zinaweza kufanya hiyo kitu.

No One Ever Really Dies
 
Nenda
Customer service,ongea na wale mabinti vizuri wakufanyie kazi hiyo
 
Asante kiongozi nimekuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda
Customer service,ongea na wale mabinti vizuri wakufanyie kazi hiyo
Sio rahisi ki hivyo mkuu!! Ndio maana lazima upitie polisi, na wao ndio wafanye kazi hiyo, kupitia kampuni ya simu, kupata taarifa za hiyo simu!! Kwani akifanya mfanyakazi wa customer care, ki magumashi, akaenda huko yakatokea majanga, labda ya kuuana, kuumizana lazima awajibike tu!! Mimi kuna ndugu yangu kabisa alinikatalia katu katu kufanya hiyo, nikapambana mwenyewe hadi nikamkamata mwizi wangu, kwakuwa kuna mlinzi wa kizungu(program) alikuwa ndani humo!!
 
Pesa inatafutwa. Kukosea ndo kujifunza. Hii kitu ina gharama na unaeza ukampata kumbe sio huyo au line ametupa.. Ukajikuta unatumia gharama kubwa kuliko ya uliyotapeliwa ila kwa msaada zaidi wapigie watu wa mitandao wakuelekeze au kama upo dar nenda TCRA pale simu 2000 wakupe mwongozo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa kiongozi nipo naelekea mawasiriano... Umeniambia niende ofisi gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba hiyo program kiongozi. Nahitaji sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…