Kozi ya manufaa veta

Jux08

Member
Joined
May 21, 2017
Posts
55
Reaction score
16
Wadau, ni kozi gani naeza kusoma veta hapa ikanipa manufaa kitaa..!??
 
Maintenance of cellular phone,umeme wa magari umeme wa majumbani..
 
Maintenance of cellular phone,umeme wa magari umeme wa majumbani..
Hii cellular phone maintanance nimeilewa sana mana watu wanaharibikiwa sana simu, so nikiweka tangazo tu hata nje ya geto nafkir wateja watakua wanakuja kama wote..thnx sana
 
Nafkir cellular phone maintanance ikienda sambamba na computer maintanance itakua poa zaidi
Yes ufundi simu ukiendana na computer ukaijua vizuri unakuwa umemaliza shughuli.
 
Na mademu utapata sana! Mana ulimtongoza demu leo! Kesho anaamka simu mbovu!
Hii cellular phone maintanance nimeilewa sana mana watu wanaharibikiwa sana simu, so nikiweka tangazo tu hata nje ya geto nafkir wateja watakua wanakuja kama wote..thnx sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…