KAFA.cOm JF-Expert Member Joined Jun 22, 2013 Posts 1,301 Reaction score 743 Jul 18, 2016 #1 Kwa waliosoma hii kozi waje watujuze tafadhali. Mimi nimemaliza form 6 na nimefaulu vyema tu, combination ni HGL. Je ninaweza soma kozi hii?
Kwa waliosoma hii kozi waje watujuze tafadhali. Mimi nimemaliza form 6 na nimefaulu vyema tu, combination ni HGL. Je ninaweza soma kozi hii?
Erick tryphone JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 387 Reaction score 84 Jul 18, 2016 #2 yeah unaweza kusoma sema competition hua ni kubwa sana so mara nyingi hua wanachukua wenye division 1
yeah unaweza kusoma sema competition hua ni kubwa sana so mara nyingi hua wanachukua wenye division 1
L lizabriana Member Joined Jun 20, 2016 Posts 27 Reaction score 11 Jul 19, 2016 #3 Erick tryphone said: yeah unaweza kusoma sema competition hua ni kubwa sana so mara nyingi hua wanachukua wenye division 1 Click to expand... Asante vip kuhusu ajira n moja kwa moja?
Erick tryphone said: yeah unaweza kusoma sema competition hua ni kubwa sana so mara nyingi hua wanachukua wenye division 1 Click to expand... Asante vip kuhusu ajira n moja kwa moja?