0 01savag Member Joined May 24, 2023 Posts 76 Reaction score 150 Aug 12, 2024 #1 Naomba kupata muongozo namna ya kupata kontena la futi 20 au hata zaidi ya hapo kama itawezekana. Bei iwe nafuu kidogo mana budget imenibana. Naomba anayeuza tuwasiliane au anayejua mahal naweza kuyapa kwa bei nafuu anisaidie
Naomba kupata muongozo namna ya kupata kontena la futi 20 au hata zaidi ya hapo kama itawezekana. Bei iwe nafuu kidogo mana budget imenibana. Naomba anayeuza tuwasiliane au anayejua mahal naweza kuyapa kwa bei nafuu anisaidie
Manyanza JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 19,149 Reaction score 43,097 Aug 12, 2024 #2 01savag said: Naomba kupata muongozo namna ya kupata kontena la futi 20 au hata zaidi ya hapo kama itawezekana. Bei iwe nafuu kidogo mana budget imenibana. Naomba anayeuza tuwasiliane au anayejua mahal naweza kuyapa kwa bei nafuu anisaidie Click to expand... Bajeti yako ni sh ngapi? Nikupm namba ya jamaa
01savag said: Naomba kupata muongozo namna ya kupata kontena la futi 20 au hata zaidi ya hapo kama itawezekana. Bei iwe nafuu kidogo mana budget imenibana. Naomba anayeuza tuwasiliane au anayejua mahal naweza kuyapa kwa bei nafuu anisaidie Click to expand... Bajeti yako ni sh ngapi? Nikupm namba ya jamaa
0 01savag Member Joined May 24, 2023 Posts 76 Reaction score 150 Aug 12, 2024 Thread starter #3 Nimekuchek pm kiongoz