AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,285
- 4,023
Walikuwa wote UFC na alimnyanganya mkanda lesnar. Kule ndio matokeo hayapangwiNiliona jamaaa lesnar aliwaza mara kibao kwenda wakat mech zingine akivamiwa tu lazima mvamiaji atafute pa kutokea
Wale wote wanajua sema ni kitu wanakipenda kama unavyoangalia movie za RAMBO wajua hakuna ukweli pale lakini watoa hela wanunua movie ili uburudikeNilishaachaga kuangalia haya maigizo. Yaani umati woooote ule wa watazamaji ukumbini wanashindwa kutambua kuwa hawa jamaa ni wasanii na kila kitu kinakuwa kimepangwa.
Kingston kama kapigwa ndio walikuwa wamepanga iwe hivyo wewe unaona kama kapigwa kiuepesi.
Hayo mashindano yakoje mana siyapati!Walikuwa wote UFC na alimnyanganya mkanda lesnar. Kule ndio matokeo hayapangwi
Huyo sio mshabiki bali ni mwanamieleka na inawezekana pambano lilimhusu yeye na alichofanya Ni kuweka mtego wa ushindiwakati pambano la mieleka linaendelea anatokea mshabiki jukwaani anapanda ulingoni anamdunda refa mpaka refa anazimia, anawageukia wanamieleka anamdunda mmoja wapo mpaka anakimbia, anamtangaza mshindi yule aliemsaidia, wanabeba mataji yao ya ubingwa wanaondoka huku washahbiki wanashangilia, halafu kuna watu wanasema huu mchezo ni wakwel
UFC = Ultimate Fight Championship.Yeah, nilikosea kidogo. Asante mkuu
Karudie kutazama tena mkuu hasa kwenye jukwaa la washabiki.hiyo mieleka ya WWE ni mchezo wa maigizo tu, ni feki ni kama movies za kuigiza, hauna uhalisia wowote, wanaoamini ni mchezo wa kweli wanashangaza sana, na asilimia kubwa wa mashabiki wake huko Ulaya ni watoto wadogo, ni mchezo wa kuchekesha kawa movies za katuni za akina tom and jerry.
wakati pambano la mieleka linaendelea anatokea mshabiki jukwaani anapanda ulingoni anamdunda refa mpaka refa anazimia, anawageukia wanamieleka anamdunda mmoja wapo mpaka anakimbia, anamtangaza mshindi yule aliemsaidia, wanabeba mataji yao ya ubingwa wanaondoka huku washahbiki wanashangilia, halafu kuna watu wanasema huu mchezo ni wakwel
Sikiliza kufa hata kwenye SOKA watu wanakufa lakini hawapigani.Mbona wengi walishakufa kwenye ulingo wakidundana,sioni uongo hapo
Rehearsal ya kupanda juu ya cage na kujiachia uanguke nje ya ulingo ukitanguliza mgongo!!Ni kweli kabisa mkuu. Mimi nilikuwa naupenda huo mchezo mpaka nilikuwa nawakera hapa nyumbani kwenye tv ya familia. Lakini nilipokuja kufuatialia kumbe Kila kinachofanyika Ni scripted. Na kabla ya pambano inafinyika rehearsal Basi mkuu mpaka wa leo Sina hamu
mkuu nakuelewaga vizuri mieleka unaifahamu saanaHuyo sio mshabiki bali ni mwanamieleka na inawezekana pambano lilimhusu yeye na alichofanya Ni kuweka mtego wa ushindi
kwake.
Huwezi kuwajua Wanamieleka wote wengine ni ingizo jipya na hakuna vazi maalum la kuchezea Mieleka hadi mtazamaji umjue.
Mtu asiyekuwa mwanamieleka haruhusiwi kupanda jukwaani wakati wa mchezo.
Huo mkanda ataupeleka wapi wakati hajajisajiri kuwa mchezaji..!
Unaweza ukacheza Mieleka huku umevaa suti.
Yule mtoto wa Rey Masterio aliyechomolewa kwa watazamaji na Lesner na kupigwa unaweza kufikiri ni mtazamaji, lakini tayari ameshajisajiri kama mwanamieleka na Ile ilikuwa ndio mwanzo wake wa kucheza, utamwona jukwaani muda sio mrefu.
Mieleka Ina mambo mengi na Kama unaitizama kijuujuu huwezi kuelewa kinacho endelea.
Mimi ni Mdau wa Mchezo wa Mieleka.mkuu nakuelewaga vizuri mieleka unaifahamu saana