Kiyabo: CCK itatoa Rais 2015


Teh teh teh, mbona mkutano umeshafanyika?
 
Kiyabo, ambaye baada ya CCJ kufutwa alihamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kabla ya kuamua kuachana na siasa kwa muda, amesema anaamini kwamba Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania litakuwa na wabunge wa kutosha kutoka CCK.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…