Nahitaji kiwanja kilichopimwa au kilicho maeneo ya makazi dodoma mjini. Nina 1 milion. Asa asa maeneo ya nzuguni, nkuhungu au popote ila isiwe mbali na mjini. Ila nataka sana kilicho pimwa. Kama unacho ni PM ili tuongee biashara.
Mkuu hiyo 1m unataka kilichopimwa tena maeneo ya mjini?
Last week jamaa yangu alienda kununua Kiwanja mnadani mbele ya mzani (NALA) kwa 3m (30×24)
Kwahiyo offer yako lazima wakutapeli.
Mkuu hiyo 1m unataka kilichopimwa tena maeneo ya mjini?
Last week jamaa yangu alienda kununua Kiwanja mnadani mbele ya mzani (NALA) kwa 3m (30×24)
Kwahiyo offer yako lazima wakutapeli.
Mkuu hiyo 1m unataka kilichopimwa tena maeneo ya mjini?
Last week jamaa yangu alienda kununua Kiwanja mnadani mbele ya mzani (NALA) kwa 3m (30×24)
Kwahiyo offer yako lazima wakutapeli.