D DKNY Member Joined Nov 4, 2010 Posts 30 Reaction score 10 May 10, 2017 #1 Nauza kiwanja maeneno ya Tegeta Madale- Mbopo cha ukubwa wa 40*40. Hakijapimwa, ila nyaraka za serikali ya mtaa zipo. Bei 18Million, maongezi yapo kidogo. Karibuni.
Nauza kiwanja maeneno ya Tegeta Madale- Mbopo cha ukubwa wa 40*40. Hakijapimwa, ila nyaraka za serikali ya mtaa zipo. Bei 18Million, maongezi yapo kidogo. Karibuni.
Chiwaso JF-Expert Member Joined Oct 21, 2009 Posts 5,725 Reaction score 3,796 May 10, 2017 #2 DKNY said: Nauza kiwanja maeneno ya Tegeta Madale- Mbopo cha ukubwa wa 20*20. Hakijapimwa, ila nyaraa zote za serikali ya mtaa zipo. Maji na umeme pia vipo karibu. Kwa atayehitaji tuwasiliane kwa namba hii: 0787998926 Click to expand... Kaka Maji yamefika lini Mbopo? Je, pale kwenye kanisa la walokole yashafika pia?
DKNY said: Nauza kiwanja maeneno ya Tegeta Madale- Mbopo cha ukubwa wa 20*20. Hakijapimwa, ila nyaraa zote za serikali ya mtaa zipo. Maji na umeme pia vipo karibu. Kwa atayehitaji tuwasiliane kwa namba hii: 0787998926 Click to expand... Kaka Maji yamefika lini Mbopo? Je, pale kwenye kanisa la walokole yashafika pia?
Nichumu Nibebike JF-Expert Member Joined Aug 28, 2016 Posts 8,658 Reaction score 15,814 May 10, 2017 #3 Hiyo sqwata unaigawa bure?
NYANYADO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2013 Posts 3,848 Reaction score 2,557 May 10, 2017 #4 Weka mambo hadharani tukusaidie
Nichumu Nibebike JF-Expert Member Joined Aug 28, 2016 Posts 8,658 Reaction score 15,814 May 10, 2017 #5 Chiwaso said: Je, pale kwenye kanisa la walokole yashafika pia? Click to expand... Unataka ukapte ubatizo wa maji mengi?
Chiwaso said: Je, pale kwenye kanisa la walokole yashafika pia? Click to expand... Unataka ukapte ubatizo wa maji mengi?
Chiwaso JF-Expert Member Joined Oct 21, 2009 Posts 5,725 Reaction score 3,796 May 10, 2017 #6 Nichumu Nibebike said: Unataka ukapte ubatizo wa maji mengi? Click to expand... Maji yepi tena Nichumu? Kama ni yale ya sehemu sehemu, Ndio.πππ
Nichumu Nibebike said: Unataka ukapte ubatizo wa maji mengi? Click to expand... Maji yepi tena Nichumu? Kama ni yale ya sehemu sehemu, Ndio.πππ